Credits
KOMPOSITION UND LIEDTEXT
Mbari Gathariki
Songwriter:in
Samuel Mwangi Warui
Songwriter:in
Waithera Chege
Songwriter:in
Mellina Cherotich Misoi
Songwriter:in
Lena Adhiambo Odhiambo
Songwriter:in
Faith Chepkorir Langat
Songwriter:in
PRODUKTION UND TECHNIK
Mutoriah
Produzent:in
Lyrics
(You light it up!)
Naomba nafasi mi nicheze na we
Njoo karibu, usinicheki toka mbali
Hatujuani, but tonight you could be my bae
Songa nami, hii form imekubali
Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
Usiogope nipe macho yako, ana kwa ana
Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
Usiogope nipe macho yako, ana kwa ana
Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Tutacheza hata kama hatuna pesa
Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Hatujui kama tutaonana tena
Napenda unavyong'aa kama taa, hapa we ndio star
You've got me feeling things that I can't explain
Tu vitu, Ma vitu
I think I'm falling for you just a little
Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
Usiogope nipe macho yako, ana kwa ana
Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
Usiogope nipe macho yako, ana kwa ana
Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Tutacheza hata kama hatuna pesa
Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Hatujui kama tutaonana tena
Vunja mifupa, kaza mshipi na tuzikwende
Tukizunguka, kaende, kaende
Teremka, kata kiuno jionyeshe
Inuka, Inuka
Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Tutacheza hata kama hatuna pesa
Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Hatujui kama tutaonana tena
Written by: Faith Chepkorir Langat, Lena Adhiambo Odhiambo, Mbari Gathariki, Mellina Cherotich Misoi, Samuel Mwangi Warui, Waithera Chege