Lyrics

Mi nashangaa, Nikielewa Wewe ni zaidi, ya vile nilivyoambiwa juu yako Tena sauti yako baba yanizidia, Sauti zote, ninazosikia Mi nashangaa, Nikielewa Wewe ni zaidi, ya vile nilivyoambiwa juu yako Tena sauti yako baba yanizidia, Sauti zote, ninazosikia Yale umetenda baba (Tenda) Yote Ni makuu Maana wayatenda (ammhh) kwa upendo Yale unasema baba (Tenda) Yote ni kweli Maana pia wayasema (ammhh) kwa upendo Yale umetenda baba (Tenda) Yote Ni makuu Maana wayatenda (ammhh) kwa upendo Yale unasema baba (Tenda) Yote ni kweli Maana pia wayasema (ammhh) kwa upendo Nimejipata, ndani ya upendo wako, Umekua kwangu mapumziko Neema yako yanitosha, Nikiwa nawe mimi niko huru. Nimejipata, ndani ya upendo wako, Umekua kwangu mapumziko Neema yako yanitosha, Nikiwa nawe mimi niko huru. Yale umetenda baba Yote Ni makuu Maana wayatenda kwa upendo Yale unasema baba Yote ni kweli Maana pia wayasema, kwa upendo Yale umetenda baba Yote Ni makuu Maana wayatenda kwa upendo Yale unasema baba Yote ni kweli Maana pia wayasema kwa upendo Wewe ni Mungu mkuu, Mfalme wa wafalme, Muumba wa mbingu na nchi, Heshima zote ni zako bwana, Hakuna kama wewe Yale umetenda baba Yote Ni makuu Maana wayatenda kwa upendo Yale unasema baba Yote ni kweli Maana pia wayasema, kwa upendo Yale umetenda baba Yote Ni makuu Maana wayatenda kwa upendo Yale unasema baba Yote ni kweli Maana pia wayasema, kwa upendo
Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out