Letras

[Verse 1]
Mbona mimi sijui, nina nini sijui?
Umenipa nini kidawa? Kila unachofanya ni sawa
Hakipandi chakula mda wa kula yani mpaka unilishe
Usiku usingizi sina mpaka ulale wewe (Ah, ah)
[Verse 2]
Una uzuri wa sura na hiyo chura ufundi usizidishe
We ni size yangu kina twaendana wewe
[Verse 3]
You'll be there for me my baby
I'll be there for you my baby
Baby, wewe ni wangu
[Verse 4]
Ukicheka mashavu vishimo
Mtamu mpaka kisigino
We ndo mami love
Wendo mami love
[Verse 5]
Mapenzi hayana kipimo
Mi na wewe tu kucheat no
Nisha dondosha wino oh
Nisha dondosha wino oh, oh
[Chorus]
Only you, only you
Only you, only you, only you
Only you, only you
Only you, only you, only you
[Verse 6]
Mungu anaumba, Mungu anachora
Mungu anayakata-kata maumbo
Mungu anafumba
Molah, kakujaza-jaza nyama lundo
[Verse 7]
Si ndoma si kokoto
Vimacho vyako changalawe
Mwili homa nahisi arosto
Tuanze kula ndo tunawe
My chioma, my tototo
Ukinmwagia sandakalawe
Sodoma nauona moto
Ukibiduka para nawe
[Verse 8]
Mwarubaini ni dawa ya tumbo
Usiichanganye na sukari (Oh na sukari)
Nimebaini penzi ni fumbo
Si maandishi ya daftari
[Verse 9]
Ukicheka mashavu vishimo
Mtamu mpaka kisigino
We ndo mami love
We ndo mami love
[PreChorus]
Mapenzi hayana kipimo
Mi na wewe tu kucheat no
Nisha dondosha wino oh
Nisha dondosha wino
[Chorus]
Only you (Only you) only you (Only you)
Only you (Only you) only you
Only you, only you, only you
Only you, only you, only you
Written by: Mbwana Yusuph Kilungi
instagramSharePathic_arrow_out