Lyrics

Maisha yangu mi'
'Meshafanya vingi na kukutana na wengi
Kama warembo nao
Nimeshakuwa na wengi ila sio siri umewazidi
Uzuri sio sura ma'
Pozi na maumbile kama wengi wanavyodhani
Bali ni nzuri tabia, hekima na ukarimu wako, busara na imani
Uzuri sio sura ma'
Pozi na maumbile kama wengi wanavyodhani
Bali ni nzuri tabia, hekima na ukarimu wako, busara na imani
Nikikupata, milele nitafurahi
Nitaimba nakupenda, hadi mwisho wa uhai
Nikikupata, milele nitafurahi
Nitaimba nakupenda, hadi mwisho wa uhai
Heshima ya mapenzi, ubora wa mapenzi
Wawili kuaminiana
Heshima ya mapenzi, furaha ya mapenzi
Mi' na we' tukipendana
Na mi' ninaapa, kukupa thamani ya penzi unalopaswa
Kamwe sitofanya, kinyume na thamani ya pendo nikakosa
Uzuri sio sura ma'
Pozi na maumbile kama wengi wanavyodhani
Bali ni nzuri tabia, hekima na ukarimu wako, busara na imani
Uzuri sio sura ma'
Pozi na maumbile kama wengi wanavyodhani
Bali ni nzuri tabia, hekima na ukarimu wako, busara na imani
Nikikupata (oh), milele nitafurahi (milele nitafurahi)
Nitaimba nakupenda, hadi mwisho wa uhai (mwisho wa uhai)
Nikikupata, milele nitafurahi (milele nitafurahi)
Nitaimba nakupenda, hadi mwisho wa uhai (hadi mwisho wa uhai)
Maisha yangu mi'
'Meshafanya vingi na kukutana na wengi
Kama warembo nao
Nimeshakuwa na wengi ila sio siri umewazidi
Uzuri sio sura ma'
Pozi na maumbile kama wengi wanavyodhani
Bali ni nzuri tabia, hekima na ukarimu wako, busara na imani
Uzuri sio sura ma'
Pozi na maumbile kama wengi wanavyodhani
Bali ni nzuri tabia, hekima na ukarimu wako, busara na imani
Nikikupata (oh), milele nitafurahi (milele nitafurahi)
Nitaimba nakupenda (nakupenda), hadi mwisho wa uhai (mwisho wa uhai)
Nikikupata, milele nitafurahi (milele nitafurahi)
Nitaimba nakupenda, hadi mwisho wa uhai (mwisho wa uhai)
Written by: Benard Paul
instagramSharePathic_arrow_out