Lyrics
Cool it down Eskimo
Last week nilikuwa mang'aa, pole
Nilishow serikali kidole
Nimesense ni kiforeign
Wanajaribu kublow, najijenga pole pole
Ni kitu common knowledge, utakuwa unemployed ukimaliza college
Yoh, and they wonder why we're alcoholics
Maisha ngori, maisha ngori
Eh, rauka na jogoo kusaka hela asubuhi
Roho iko na chuki kweli ndugu hujijui
Na sikomi hadi mwisho wa safari
You think you know me hunijui mi mkali
Ah woah, woah, woah, woah, woah
Oh yeah, yeah, yeah, yeah, yeah (jipe shughuli nani)
Ah woah, woah, woah, woah, woah
Oh woah, woah, yeah, yeah, yeah (jipe shughuli nani)
Ah woah, woah, woah, woah, woah
Oh yeah, yeah, yeah, yeah, yeah (jipe shughuli nani)
Oh da-da-da-da-day
Oh yeah, yeah, yeah, yeah (jipe shughuli nani)
Jipe shughuli nani (jipe bizz)
Kwani mi ni type yako (iya)
Niko on your mind rent free (for free)
Hata ingekuwa half off ndiyo you earn a little
Hiyo time unaglaze ungelearn a kitu
Woodwork ama steel something honourable
Craft you a new seat more comfortable ndiyo you GOMD
OMG asking about me, je you?
Kwani huna life? Huna dem?
Huna grind? Huna game?
Huna spine? Huna shame?
Huna mind? Huna change?
Huna style? Huna range?
Wenzako afadhali wana-behave
Wakoro wana-worry hutawai age
Story yako inabaki on the same page
Na mimi siku-notice, get you a new aim
Jipe shughuli
Hey, woah, hey, woah (jipe shughuli nani)
Hey, woah, hey, woah (jipe shughuli nani)
Hey, woah, hey (jipe shughuli nani)
Hey, woah, hey, woah (jipe shughuli nani)
O-o OD in the house, nakaza kaza
Sitanyamaza, lipuka ni kaa ni Gaza
Sijazivuta hii zaza miaka saba
Za Arusha, Malawi ama Uganda
Ninazilaza mistari warusha rasa, napasa pasa
Inuka wacha kuwaza
Ni msupa ama amechora saba?
Kwa hii giza ang'ara, ameparara?
Ni ruhusa nataka nenda kunawa
Ana mafuta kibao mate nameza
Kasambusa, kahewa, meza kwa meza
Sina majuto naweza shughuli tena
Utajuta kucheza dem ameweza
Ni kipusa, mtamu kaa peremende
Nitatupa maneno, mistari, fedha
Changamka na twende, mbio za mende
Oyaaa, rada Nairobi, rada Nairobi, rada? (jipe shughuli nani)
We're back Nairobi, we're back Nairobi
We're back, oyah (jipe shughuli nani)
Rada Nairobi, rada Nairobi, rada? (jipe shughuli nani)
Kila day niko shughuli tu
Kila day ni ma one and two
Kila day niko up na move
Nikitry ku-pay my dues
Oooh, oooh
Oooh, oooh
Oooh, oooh
Usiniambie, eti effort ni bure
Lazima upike ndiyo ukule
So lazima nijitume, nijitume
Usiniambie, eti effort ni bure
Lazima upike ndiyo ukule
So lazima nijitume, nijitume, hey
Ah woah, woah, woah, woah, woah
Oh yeah, yeah, yeah, yeah, yeah (jipe shughuli nani)
Ah woah, woah, woah, woah, woah
Oh woah, woah, yeah, yeah, yeah (jipe shughuli nani)
Ah woah, woah, woah, woah, woah
Oh yeah, yeah, yeah, yeah, yeah (jipe shughuli nani)
Ah yeah, yeah, da-da-day
Oh yeah, yeah, yeah, yeah (jipe shughuli nani)
Hey, skiza, uh
Ushai sweat haga?
Unasema nini ketisha marasa
Vitu imebidi nifanye kufika hapa
Hadi siwezi bonga
Hadi hio ukweli siwezi chonga
Fake gangsters wanachocha, mimi nimetoka
Siwezi sema nasambaza mali kama mboka
Mi ni kama manager wa chai, mmenitii
And I'm cutting green kama mama mboga
Dem wangu ameniblock, kwani ninajali?
Life is unfair, hio ndio hali
Bado atasema Fushi ndio chali
Now look at one I'm saying ei buda zai
I stayed up last night (stayed up last night)
Tryna make it right (tryna make it right)
Niko class ya chem, damn (niko class ya chem)
Nimezima walai (and I'm gone)
Ah woah, woah, woah, woah, woah
Oh yeah, yeah, yeah, yeah, yeah (jipe shughuli nani)
Ah woah, woah, woah, woah, woah
Oh woah, woah, yeah, yeah, yeah (jipe shughuli nani)
Ah woah, woah, woah, woah, woah
Oh yeah, yeah, yeah, yeah, yeah (jipe shughuli nani)
Ah yeah, yeah, da-da-day
Oh yeah, yeah, yeah, yeah (jipe shughuli nani)
Hey, woah, hey, woah (jipe shughuli nani)
Hey, woah, hey, woah (jipe shughuli nani)
Hey, woah, hey (jipe shughuli nani)
Hey, woah, hey, woah (jipe shughuli nani)
Mi sijui
Mi sijui
Mi sijui
Written by: Andrew Mwololo Mbindyo, Kamau Kevin Mburu