Featured In
Similar Songs
Credits
AUSFÜHRENDE KÜNSTLER:INNEN
Zuchu
Stimme und Gesang
KOMPOSITION UND LIEDTEXT
Zuhura Othman Soud
Songwriter:in
PRODUKTION UND TECHNIK
Lizer Classic
Produzent:in
Lyrics
[Verse 1]
Do you know me
The way you call me your queen
Mwenzako I feel so happy
Happy
[Verse 2]
Do you know
That you're my favourite you're my bee
Unakuanga so lovely
Lovely mmh
[Verse 3]
Ah, jamani mwenzenu moyo kaniibia
Nahisi kihirizi ah, kanichimbia mama
Nauchizi sio ucheshi nachanganyikiwa
Mapenzi kikohozi, kwake nimepaliwa
[Refrain]
Aki ya mama chochote nitafanya (Nitafanya)
And I swear to God kwako hoi nyang'anyang'a (Nyang'anyang'a)
Aki ya mama chochote nitafanya (Nitafanya)
And I swear to God kwako hoi nyang'anyang'a (Nyang'anyang'a)
[Verse 4]
Ooh, tazama ndege angani wanaimba na kucheza
Zuzuzu wewe waniukilia we
Niliomba dua nami nipate wakunipendeza
Mungu tu aliye mwema amenipa eh
Na mimi Mungu wetu mwema ndo amenipa weh
[Verse 5]
Oh malijani, huoni ka tunanyimana
Wenyewe tumetulizana, tabia vimo twafanana
Saana mapenzi bwana hata tugombane mchana
Usiku tumeshapatana twacheka na kutekenyana
Sanaa
[Verse 6]
Jamani mwizi moyo kaniibia
Nahisi kihirizi ah, kanichimbia mama
Ndo maana uchizi sio ucheshi nachanganyikiwa
Mapenzi kikohozi, ah nimepaliwa
[Chorus]
Aki ya mama chochote nitafanya (Nitafanya)
And I swear to God hoi nyang'anyang'a (Nyang'anyang'a)
Aki ya mama chochote nitafanya (Nitafanya)
And I swear to God kwako hoi nyang'anyang'a (Nyang'anyang'a)
Written by: Zuhura Othman Soud