Top Songs By Kontawa
Similar Songs
Credits
AUSFÜHRENDE KÜNSTLER:INNEN
Kontawa
Künstler:in
KOMPOSITION UND LIEDTEXT
Abdu Hamid
Komponist:in
Lyrics
Zara Boy pass me the weed
I'm about to say something shit nigga
Bomboclaat
Mh, me nachekaga tu
(Mafia)
Eh, ukiuliza kiatu ndo kitakwambia
Ni mambo mangapi me nimepitia
Siwezi rudi nyuma sijakalili njia, yeah
Eh, nishakutana na mambo mengi ya dunia
Ndo maana hapa nilipo nikikuamulia
Hushindi hata ukivaa nguo za kushindia
Eeh, hamtaki kutuona mbele kwani wenzetu mnatakaje
Tulikotoka tulimwagiwa maji ya maharage
Mnatuombea mabaya kwani si tuliwafanyaje
Tumekoswa na vibaka mnaomba tuhonge ili tukabe
Na kuna vitu mnavifanya bana hamfanyi poa
Kwa mawazo yenu mnadhani mnanikomoa
Kila nikianzisha penzi mnapanga kulibomoa
Au mnataka Yesu arudi anikute bado sijaoa
Tuoneane huruma
Punguzeni hujuma
Wapo wanaotutegemea
Nyie mtauwa
Tuoneane huruma
Punguzeni hujuma
Wapo wanaotutegemea
Nyie mtauwa
Ukidhani unanikomoa mimi
Nyuma kuna wengi usiowajua
Usiombe wapige goti chini
Wakusomee dua men
Alhamdulilah Mungu nashukuru
Pumzi unanipa silipi ushuru
Nipate nikose siwezi kufuru
Uzuri umeniumba tembo na sio kunguru
Yeah, sina uwoga
Me ni maji wasiponinywa watanioga
Na wakijisumbua kuniroga
Watapoteza muda kama alomtahiri shoga
Binadamu bwana eti ye ndo kakupa upofu
Na yupo hadharani anasema kuwa uyaone
Binadamu bwana
Binadamu bwana anaweza kukupa matibabu
Na kwenye dua zake anakuombea kwa Mungu usipone
Binadamu bwana, eh
Tuoneane huruma
Punguzeni hujuma
Wapo wanaotutegemea
Nyie mtawauwa
Tuoneane uruma
Punguzeni hujuma
Wapo wanaotutegemea
Nyie utauwa-ah
Ukiniletea U-B.I.G nakuletea U-Pac
Usinitishie uchawi
Me mwenyewe Illuminati
Binadamu wana mambo ya kiwaki
Unaweza ukang'oka meno wakakuletea mswaki
Wakusimama na me wote walikaa
Leo wanashangaa ng'ombe wa maskini amezaa
Ukinichukia me umeuchukia mtaa
Mnaongoja nifeli niko pale nimekaa
Tuoneane huruma
Punguzeni hujuma
Wapo wanaotutegemea
Nyie mtauwa
Tuoneane huruma
Punguzeni hujuma
Wapo wanaotutegemea
Nyie mtauwa
Konde Boy call me number one, number one
Is Konde Music Worldwide, mh
(Tuoneane huruma)
Yeah, we gonna share this message (punguzeni hujuma)
To everyone in this world (wapo wanaotutegemea)
Me nachekaga tu
(Mafia)
Lyrics powered by www.musixmatch.com