Music Video

Featured In

Top Songs By Serikali Kuu ya Mizuka

Credits

AUSFÜHRENDE KÜNSTLER:INNEN
Serikali Kuu ya Mizuka
Serikali Kuu ya Mizuka
Künstler:in
KOMPOSITION UND LIEDTEXT
Ibrahim Ayoub Mandingo
Ibrahim Ayoub Mandingo
Songwriter:in
Rashidi Shaban
Rashidi Shaban
Songwriter:in
Salmin Kigondo
Salmin Kigondo
Songwriter:in
Fredy Benny Mbetwa
Fredy Benny Mbetwa
Songwriter:in
Rashid LunyalileRashid
Rashid LunyalileRashid
Songwriter:in
Awadhi chami
Awadhi chami
Songwriter:in
PRODUKTION UND TECHNIK
Ammy Waves
Ammy Waves
Produzent:in

Lyrics

Man of the year dress code Never stuck on my way niko na escort Ni kiwingu naleta giza na ni mchana mjini Bebe mpya hakuna sie wenzako tunaziimport Najiona mbali sana yes bana Ukiona kama wanakukazia watembezee spana Kata keki keki kubwa jichagulie upana Maadui zangu hawashindani wanapambana Swag kama Joslin, yes mimi Pesa inaongea, mandem is speaking T shillings East African Mbuzi best rapper it's 2024 Na bado najisifia fuck your past feelings Wameenda kote kama mimi wanajaonaga Afu sio kwa mbwembwe sio kwa rhymes sio kwa swaga Pia sio kwa noma, sio kwa love, sio kwa zaga Hesabu zangu hazielewekagi zig zaga Shocking vibes wanahamaki Na nikipull up you can't tell me nothing Tulipotoka man We had nothing Tunavyofanya saa hii Kama Illuminati So tunaflex we flexing Yeah yeah flex we flexing Tuna flex we flexing Yeah yeah flex we flexing (Malume) Wananiita influensaa utasema doto magari Hakinuki kinanukia ni pokopoko manjari Unapunwa kwenye kamari unaputwa ka sio kabali Ukiona mirungi mishisha basi jua sele halali Na mziki sio lazma town watu washatokea Motika Kesho jiwe la wiki leo ndo nandandia Ngorika Hasira shingo zimefura ka tunaugulia goita Siku hizi wine tukishakula huku tunaangalia Lolita Imekuwa victory lap Na bebe iko na nyama navyoila huku naislap Napost move zilizopita ka unanifatilia snap Hivo ukitaka kubana ka ukijua issa wrap Na mambo ya house party nimewaachia wakalii wa jiji Wakiuliza Dom Vipi nawaambia Dodoma jiji Wanantumia mialiko na bado siji Bora niende tabata kwa mwanangu Bad weedy Shocking vibes wanahamaki Na nikipull up you can't tell me nothing Tulipotoka man We had nothing Tunavyofanya saa hii Kama Illuminati So tunaflex we flexing Yeah yeah flex we flexing Tuna flex we flexing Yeah yeah flex we flexing (It's over till suffer baby) Thirteen years in the game Call me BABA Mpaka leo watoto nawakaba Bebe nyingi but don't fuck without a rubber Allow me to introduce Wizzy me ni Shaba Najua kupoa madem ng'oa I mind my fucking business Ukiona watoto wanatoboa basi they fucking listen Kila Baba anachosema so mshinishindanishe Me naenda kama daraja so wacheni watoto wapite Watu wana snitch wakiiona money Me Mwenyewe natosha one man army I can never beg a bitch for punani Mambo sijui ya kuchuja tulianza zamani Pesa ndo mpango ndo wanapoliwa mama zako Na anachukuliwa mbele yako Na utakalishwa kitako na tutakwacha peke yako Nani alilie shida zako Tafuta mkwanja we hustle my nigga (pyuh) Okay easy dog yeah Huwezi rap kama hivi bro yeah Kama Zilla jinsi nilivo yeah Wizzy ni balaa king Wizzy king wizzy wizzy ni balaa So tunaflex we flexing Yeah Yeah flex we flexing Tunaflex we flexing Yeah Yeah flex we flexing (Ugomenyee) Njwani akamanyapo kun'jini twise kubhomba fiki Malafyale kiki fyofiki komakipiki Ughwe umenyeeee Kukajaa Mbeyaaa nakijitiiii Nimefungua dunia na nia bhakutifiki Nilipo nimwene twesa pamopene Kuchanganya unyaki kumenijaza mapene Amasiku agha sitikeee nimnenee Mweee eeeh momumooo nkamu mpaka waseme We outchea johari masaki mjini tayari Umenye nfume kutali kwiputa sana kusali Achana na nilikofika nilikotoka ndio mbali Bhakuti nifikile bhakamanyapo hatulali Biashara ilikua kuuza vitu Congo tower kariakoo winga kila kitu Nimeaga kwetu bhati bhukagha wa kumyitu Abhandu bha kyala wamefungua roho kwatuuu So tunaflex we flexing Yeah Yeah flex we flexing Tunaflex we flexing Yeah Yeah flex we flexing Picha linaanza niko na mboga kama tano Zote zinazimia michano Kama mchizi flani nimedraw uko Remitano Sa utanipa ngapi ka mitaa imenipa tano Got a lot of them I know kama hater ni kibano We made the game for these boys so lazima urespect Napomuona Yule Boy namuona fishmate Your whole gang wanaact like they know the business We killing everything moving na hakuna kuacha witness Mapicha kibao kama snap ya supermodel Chini ya muarobaini mjomba nimeokota dodo Used to have nothing saivi wananiomba photos Ukifunga mmoja si Mungu anafungua like 4 doors oh no He a CEO kwenye flow Sean Paul see how we go Ukiwa unashinda tu wanapanick why you getting better Na bado nikiona bebe zao nawaambia call me later So tunaflex we flexing Yeah Yeah flex we flexing Tunaflex we flexing Yeah Yeah flex we flexing (One time) Si tunajua wanakunja sana rohoni kwao Tuna bang Tunatamba mpaka mtaani kwao Bila demu kila game tunapiga bao Na tuko fresh iwe kwa ngumi mpaka paauuww paauuwh Tukikutana nao sina story nao Hi labda size yao Tofauti kubwa kati ya wanangu na wanao Wameshindwa kabisa kuwa busy na mambo ya kwao Check itifaki fake unabaki Unawekwa mtu kati na unatembezwa kiwacky Chuma imepaki kushuka hatutaki Moshi umetanda kama tunachoma mishkaki I'm just big boy with a one man show Teria bango kubwa one time for my crew here we go now Uzembe kitambo tuliutupaga huko kando Tukajichoma machanjo as you can see now So tunaflex we flexing Yeah Yeah flex we flexing Tunaflex we flexing Yeah Yeah flex we flexing (Yeah yeah it's Conboi) Stacking bills bankroll's on a roll On the grind everyday my ambitions on a scroll Sacrifice my life kwenye hii game no joke Kila sauti inaposikika kila sehemu inakuwa smoke On the scene making moves like a chess Navigating life each move no less Checkmate moments under life's egress Mi ni mshindi kivyovyote check ambavyo ninavyo flex I'm blessed Kwenye mic huwaga sibahatishi Usiombe ukinikuta nimezungukwa na mchizi kama hivi Huu mchezo ni wa kwetu bila ya ubishi Do this rap familia zetu zije kuishi Real nigga nigga wala sicheki na makima Nishakuwa star but I never change my demeanor Usije kichwa kichwa ukahisi unaweza kunipima Gonna catch a body kesho wakakusahau nikakuzima So tunaflex we flexing Yeah Yeah flex we flexing Tunaflex we flexing Yeah Yeah flex we flexing
Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out