Lyrics

[Verse 1]
I say ooh
Leta hiyo dope nani
Gimmi that dope I need
Flow ni kama soo I mean
[Chorus]
Leta hiyo dope nani
Gimmi that dope I need
Wanataka Dope-I-mean
**** wanna know my fee
This the sh*t you cant afford
[Verse 2]
Opps ni kama AFC
Me na squad yangu kama Gor
Betting you can bet on me
This the sh*t you cant ignore
[Verse 3]
Nawacheki kwa TV
Nimenyamaza for far too long
Hii game ilidai tu kichwa
Lakini mimi nani nikapush
Hapa nikuseti tu mambichwa
Mambleina niliwaachia mabush
The boy too fly nawapita
[Verse 4]
Niko juu yenu kama dush
Hii ngoma kuna mahali inawashika
Na mtadarwa kwote ka mafrush
[Verse 5]
Kidole cha kati nimejam
Hizo ngoma zenu ni haram
Pigwa na mistari kama gram
Ukinitukana umebant
Nilishawasoma nikacram
F*cking up the game na me si cum
Ngeus amebeba hiyo drum
Naipiga beby giving them a run (Oohh)
[Chorus]
Leta hiyo dope nani
Gimmi that dope I need
Flow ni kama soo I mean (Ooh)
Leta hiyo dope nani
Gimmi that dope I need
Wanataka Dope-I-mean
[Verse 6]
Nyi marapper wote mmepaka
Dope-I-Mean ndio kitu wanataka
Step up in the booth and go blakka
Shorty got a cake na me naikata
**** wanna talk about who now?
Huyo achana naye namtoka
I came back they don’t know what to do now?
Me acheni jo nipige mboka (Ooh)
[Chorus]
Leta hiyo dope nani
Gimmi that dope I need
Flow ni kama soo I mean (Ooh)
Leta hiyo dope nani
Gimmi that dope I need
Wanataka Dope-I-mean
Written by: Wayne Wood Karanja
instagramSharePathic_arrow_out