Lyrics

Cheki Mana tipsyyy (Like a boss) How pretty is your neighbour Ju wangu jo ni peng Jana saba ilinibamba Venye bana alibend Nilizubalia denda kizubi zubigeng Nilicheck nikacheck again and again She's a ten kameiva Kasipogeuzwa kataungua Ni ka diva kanasumbua Kanafanya adi mi na shiver na sina cure Mi nacheza sure katajipa si unanijua Peng check confirm nishakemba katam Na venye jo kamevaa kamekaa kamenijam Na bado sijangam ata ka ni jina ya gram Na inafanya najam bana inafanya najam Taki nakati takitaki mi nataka sana Taki nataki nataka kukujua sana Chini ya maji takitaki mi nataka sana Taki nataki nataka kukujua sana Taki nakati takitaki mi nataka sana Taki nataki nataka kukujua sana Chini ya maji takitaki mi nataka sana Taki nataki nataka kukujua sana (mana tipsyyy) Fetish yangu huwanga funny Yaani bora akona bunda dredi na ni mali safi Mtoto wa nyumbani Short and sweet tu visexy She be my queen kanadunga dera Kanataka mi ni cheki Pale kwa hip kakituck mimi kwisha Kwanza kakiuma lips Si mi kashanibakisha Sai mi nasip mahali kamenifikisha Naona mi nikichizi Msupa ni Peng check confirm nishakemba katam Na venye jo kamevaa kamekaa kamenijam Na bado sijangam ata ka ni jina ya gram Na inafanya najam bana inafanya najam Taki nakati takitaki mi nataka sana Taki nataki nataka kukujua sana Chini ya maji takitaki mi nataka sana Taki nataki nataka kukujua sana Taki nakati takitaki mi nataka sana Taki nataki nataka kukujua sana Chini ya maji takitaki mi nataka sana Taki na nataki nataka kukujua sana (Instrumental) She's a ten kameiva Kasipogeuzwa kataungua Ni ka diva kanasumbua Kanafanya adi mi na shiver na sina cure Mi nacheza sure katajipa si unanijua
Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out