Top Songs By Sanaipei Tande
Credits
AUSFÜHRENDE KÜNSTLER:INNEN
Sanaipei Tande
Künstler:in
KOMPOSITION UND LIEDTEXT
Sanaipei Tande
Songwriter:in
Lyrics
uuu ahhha baby...
Malaika zangu za inuka kila anapo niguza
Pumzi nazo mi zaniishia kila anapo nidadisia
Vile ata nipenda
Vile ata niroga
Vile ata niliza ×2
Vile ata...
Anapo nibusu uuu.
Anapo nilaza chini iii...
Na anapo nipapasa aaa...
Ni dhahiri shahiri
Nimepata Mfalme wa mapenzi
Hamna mwingine akaribiaye mbinu Zake
Nimempata Mfalme wa mapenzi
Hamna mwingine ila ye.
A Ni faye...
×2
Yu wafanya Kwa utaratibu
Yoja wamaliza nguvu
sina budi ila kumruhusu
Anipe sumu.
Anapo nibusu uuu.
Anapo nilaza chini iii...
Na anapo nipapasa aaa...
Ni dhahiri shahiri
Nimepata Mfalme wa mapenzi
Hamna mwingine akaribiaye mbinu Zake
Nimempata Mfalme wa mapenzi
Hamna mwingine ila ye A Ni faye.×2
Ni wie radhi
sio ati ni mara ya kwanza
kufanya mapenzi
Lakini bila shaka
Hamna mwingine kama yeye
Nimepata Mfalme wa mapenzi Hamna mwingine akaribiaye mbinu Zake
Nimempata Mfalme wa mapenzi Hamna mwingine ila ye A Ni faye.
Writer(s): Natasha Sanaipei Tande
Lyrics powered by www.musixmatch.com