Credits
AUSFÜHRENDE KÜNSTLER:INNEN
D Voice
Künstler:in
Good
Künstler:in
Abduli Hamisi Mtambo
Künstler:in
KOMPOSITION UND LIEDTEXT
Abduli Hamisi Mtambo
Songwriter:in
PRODUKTION UND TECHNIK
Good
Produzent:in
Lyrics
Wanangu leo nina stress kibao
Yaani akili yangu haiko sawa
Wanangu kichwa kina vitu kibao
Yaani naelekea kupagawa
Baba mwenye nyumba
Hela ya kodi nishaleweya
Hataki maelezo yaani amenitimua
Mubebe mchumbaa wangu wameniibia
Kisa sina helaa yaani amenikimbia
Basi mungu baba nikopeshe milioni kumi
Nikifa ntakuja nayo
We sir God nikoposhe milioni tano
Nikifa ntakuja nayo
Aah hizi dharau zinanichosha
Na ndo maana Mungu wangu nakukopa oonahh!
Mwajuma juzi alisema atakuja ghetto (Hakujaa...!
Hakuja mchizi nikala detto (Dharau...!)
Amenifanya kama kichekesho (Hakuja...!)
Kanigandisha stendi fenichaa keko
Basi mungu baba nikopeshe milioni kumi Nikifa ntakuja nayo
We sir God nikoposhe milioni tano
Nikifa ntakuja nayo
Ooooh ooh!
Wekaaaa! Aya twende muone maajabu yake
Anaogopa mende ila anapenda kifo chake
Aya twende muone uyo maajabu yake
Anaogopa mende ila anapenda kifo chake
Aya twende bingili chali chali
Kifo cha mende chalii
Mama bingili chali chali (Ooooh oh!)
Mpaka juu ya dali
Kwanza mi mtoto wa watu sina nuksi mteke mteke
Mi nikikupenda kwanza lazima unenepe
Mi mtoto wa watu sina nuksi mteke mteke
Mi nikikupenda kwanza lazima unenepe
Kama unabisha njooo tu date uonee...!
Njoo tudate uonee...!
Kama unabisha njooo tu date uonee...!
Uonee...!
Writer(s): Abdul Hamisi Mtambo
Lyrics powered by www.musixmatch.com