Lyrics
[Verse 1]
Nikipoteza njia
Kwa safari nimechagua
Nisipokuwa na nguvu
Niite, niite
[Verse 2]
Niongoze kwa neema
Nifunze kwa upole wako
Hata nikikosea
Nisaidie, nisaidie
[Chorus]
Natamani kutembea nawe
Natamani kutembea nawe
Natamani kutembea nawe
Niongoze, niongoze
[Verse 3]
Sielewi njia hii
Ndo maana nakuhitaji
Nakutegemea wewe
Enda nami, enda nami
[Verse 4]
Nashindwa kukupa yote
Hata hivyo nitaamini
Kwani najua mwisho eeh
Kuna raha, kuna raha
[Chorus]
Natamani kutembea nawe
Natamani kutembea nawe
Natamani kutembea nawe
Niongoze, niongozee
[Chorus]
Natamani kutembea nawe
Natamani kutembea nawe
Natamani kutembea nawe
Niongozee, niongozee
Written by: Rebekah Dawn