Lyrics
[Intro]
Wewe ni Mungu mkuu
Ninayetumikia
Malaika wainama, Mbingu zahubiri
Wewe ni Mungu mkuu
Wewe ni Mungu mkuu
Ninayetumikia
Malaika wainama, Mbingu zahubiri
Wewe ni Mungu mkuu
[Chorus]
Wewe ni Mungu mkuu
Ninayetumikia
Malaika wainama, Mbingu zahubiri
Wewe ni Mungu mkuu
Wewe ni Mungu mkuu
Ninayetumikia
Malaika wainama, Mbingu zahubiri
Wewe ni Mungu mkuu
[Verse 1]
Nikitazama milimani
Msaada wangu watoka wapi
Masaada wangu watoka kwako
Nakutegemea pekee
[Verse 2]
Umevikwa na utukufu
Rehema zako ni za milele
Wewe ni Mungu, Jehovah Shamma
Nakutegemea pekee
[Chorus]
Wewe ni Mungu mkuu
Ninayetumikia
Malaika wainama, Mbingu zahubiri
Wewe ni Mungu mkuu
Wewe ni Mungu mkuu
Ninayetumikia
Malaika wainama, Mbingu zahubiri
Wewe ni Mungu mkuu
[Verse 3]
Umenipa nguvu Bwana
Na ujasiri kumshinda mwovu
Nimekombolewa, nimesamehewa
Nakutegemea pekee
[Verse 4]
Umenipa nguvu Bwana
Na ujasiri kumshinda mwovu
Nimekombolewa, nimesamehewa
Nakutegemea pekee
[Chorus]
Wewe ni Mungu mkuu
Ninayetumikia
Malaika wainama, Mbingu zahubiri
Wewe ni Mungu mkuu
Wewe ni Mungu mkuu
Ninayetumikia
Malaika wainama, Mbingu zahubiri
Wewe ni Mungu mkuu
[Chorus]
Wewe ni Mungu mkuu
Ninayetumikia
Malaika wainama, Mbingu zahubiri
Wewe ni Mungu mkuu
[Chorus]
Wewe ni Mungu mkuu
Ninayetumikia
Malaika wainama, Mbingu zahubiri
Wewe ni Mungu mkuu
[Outro]
Malaika wainama, Mbingu zahubiri
Wewe ni Mungu Mkuu
Malaika wainama, Mbingu zahubiri
Wewe ni Mungu Mkuu
Malaika wainama, Mbingu zahubiri
Wewe ni Mungu Mkuu
Written by: Eunice Meshack, Kestin Mbogo