Lyrics

Uko wapi, nikufuate, niambie nipajue, angalau nikuone, roho yangu itulie
Uko wapi, nikufuate, niambie nipajue, angalau nikuone., roho yangu itulie
Najauliza kila siku wapi pa kukutafuta, ni miaka mingi sana hatujaonana
Napata shida sana, nataka niwe nawe, nakupataje-pataje, nawe huonekani
Uko wapi nieleze, tafadhali niambie
Hata kwa barua pepe, au simu ya mkononi, roho yangu itulie, roho yangu itulie
Uko wapi, nikufuate, niambie nipajue, angalau nikuone, roho yangu itulie
Uko wapi, nikufuate, niambie nipajue, angalau nikuone., roho yangu itulie
Moyo wangu unaniuma kwani kimya kimetanda, ningekuwa na uwezo wa kujua ulipo
Ningekufuata huko, nikujulie hali, niachane na mawazo ya kukuwaza wewe, ya kukuwaza wewe
Iko siku moja (Moja, moja), tutaja (Onana nawe), mimi (Mimi nawe)
Uko wapi, nikufuate, niambie nipajue, angalau nikuone, roho yangu itulie
Uko wapi, nikufuate, niambie nipajue, angalau nikuone., roho yangu itulie
Nionyeshe, nikufuate, angalau nikuone, nikuone, nikuone, nikuone, nikuone
Uko wapi, nikufuate, niambie nipajue, angalau nikuone, roho yangu itulie
Uko wapi, nikufuate, niambie nipajue, angalau nikuone, roho yangu nitulie
Uko wapi, nikufuate, niambie nipajue, angalau nikuone, roho yangu itulie
Uko wapi, nikufuate, niambie nipajue, angalau nikuone, roho yangu itulie
Uko wapi, nikufuate, niambie nipajue, angalau nikuone, roho yangu itulie
Uko wapi, nikufuate, niambie nipajue, angalau nikuone, roho yangu itulie
Written by: Rehema Chalamila
instagramSharePathic_arrow_out