Lyrics

Yesu kwako ninalia
Nitakufa ukiona
Wako nisogeze eeeh
Hivi hivi nitwae ×3
Wokovu nisogeze eeya
Hivi hivi nitwae
Nina dhambi na sifai
Damu yako natumai
Naja hivi hukatai
Hivi hivi nitwae×3
Wokovu nisogeze eeya
Hivi hivi nitwae
Kijito cha utakaso
Ni damu ya Yesu
Bwana anao uweza
Kunipa wokovu
Kijito cha utakaso
Nizame kuoshwa humo
Namsifu Bwana kwa hiyo
Nimepata utakaso×2
Ni neema ya ajabu
Kumpa mwanadamu
Kabla Yesu kumjuaa
Yesu kuwa msalabani
Written by:
instagramSharePathic_arrow_out