Credits
AUSFÜHRENDE KÜNSTLER:INNEN
Mbosso
Leadgesang
KOMPOSITION UND LIEDTEXT
Mbosso
Songwriter:in
PRODUKTION UND TECHNIK
Lizer Classic
Produzent:in
Lyrics
Hujaacha tobo uliloniachia ni bonge la tundu
Sina nyendo, mama kaninunia nahisi gundu
Nakunywa gongo najisaidia nguoni aibu
Uu walongo kitanda changu ndio chooni
Wee ndio sababu, wewe sababu
Butu mobimba nazo lela
Naumia sana nimekuzoea
Butu mobimba nazo lela, mama
Naumia sana, nimekuzoea
Mmh ndoto za ajabu
Kichwani unakuja wewe, sura yako
Nishasomewa vitabu bado vinasema wewe
Nikifa maiti yako yeah
Ah, aya yaya, aya yaya
Na machozi hayataki kauka
Ah, aya yaya, aya yaya
Nafuta kushoto kulia yashuka
Ah, aya yaya, aya yaya
Na machozi hayataki kauka
Aya yaya, aya yaya
Utamu wa nanasi
Ghafla huwa mchungu sana
Ukinywa maji
Baby wangu wasi-wasi, nani kakuficha mama?
Rudi basi
Ah
Tajiri wa huzuni machozi kwangu bwelele
Upepo wa firauni umemkumba ngedele
Mfukoni mbuni vichenji-chenji njenjere
Ah, namaliza sabuni mdomo koma kelele
Butu mobimba nazo lela
Naumia sana nimekuzoea
Butu mobimba nazo lela, mama
Naumia sana, nimekuzoea
Mmh ndoto za ajabu
Kichwani unakuja wewe, sura yako
Nishasomewa vitabu
Viote vinasema wewe, nikifa musiba wako (yeah-eh-eh)
Ah, aya yaya, aya yaya
Na machozi hayataki kauka
Ah, aya yaya, aya yaya
Nafuta kushoto kulia yashuka
Ah, aya yaya, aya yaya
Na machozi hayataki kauka
Aya yaya, aya yaya
Moyo una (malenge lenge)
Moyo wangu eh (malenge lenge)
Na hema kwa shida (malenge lenge)
Biashara yangu ya mapenzi (malenge lenge)
Ni hasara si faida (malenge lenge)
Maazoea (malenge lenge)
Nimekuzoea (malenge lenge)
Ah-ah-ah (malenge lenge)
Nimekuzoea
Writer(s): Siraju Amani
Lyrics powered by www.musixmatch.com