Credits
AUSFÜHRENDE KÜNSTLER:INNEN
Harmonize
Künstler:in
KOMPOSITION UND LIEDTEXT
Rajabu Abdukahal Ibrahim
Songwriter:in
Lyrics
Nyau
This one is a black line
Yaw yaw
Zakochali, yebooo
Konde boy, call me number one
So much money in the bank, man
All dem girls dey call me honey
Only your love can turn me to a mad man
Leo nakuto... totoo, nakutoa kwenu uje kwangu
Nina hamu yakuto... totoo, kutoa mahali uwe wangu (nyau)
Basi sema unakuja saa ngapi ama kwenu umeshakatazwa
Said kichwa nitamueka wapi na mkongo nimeshampakaza
Iyo mitungi ndo usiseme utakunywa utasaza
Kama pesa ndo zipo nyingi kuzigawa nimeshaanza
Wahuni sandakalawe (amina)
Ah mwenye kupata (apate)
Je mwenye kukosa (akose)
Eh kuku gani? (Mweupee)
Ah sandakalawe (amina)
Na mwenye kupata (apate)
Je mwenye kukosa (akose)
Ah kuku gani?
Leo nataka kukuto-, to- kutoa out
Mimi na hamu ya kuto-, to- kutoka na wewe
Jiandae leo na kuto-, to- kutoa out
Mimi na hamu ya kuto-, to- kutoka na wewe, yebooo
Ya, my beautiful baby from juba
I wanna take you to dubai
Yes I'm ready to do that, do that
Hasa twende popolipo lipopoo
Popolipo lipopoo
Popolipo lipopoo
Popolipo lipopoo
Iyo mitungi ndo usiseme utakunywa utasaza
Kama pesa ndo zipo nyingi kuzigawa nimeshaanza
Wahuni sandakalawe (amina)
Ah mwenye kupata (apate)
Je mwenye kukosa (akose)
Eh kuku gani? (Mweupee)
Ah sandakalawe (amina)
Na mwenye kupata (apate)
Je mwenye kukosa (akose)
Ah kuku gani?
Leo nataka kukuto-, to- kutoa out
Mimi na hamu ya kuto-, to- kutoka na wewe
Jiandae leo na kuto-, to- kutoa out
Mimi na hamu ya kuto-, to- kutoka na wewe, yebooo
(TheMix)
(Killer)
Leo nataka kukuto-, to- kutoa out
Mimi na hamu ya kuto-, to- kutoka na wewe
Jiandae leo na kuto-, to- kutoa out
Mimi na hamu ya kuto-, to- kutoka na wewe, yebooo
Writer(s): Tarico Caifaz Samuel Simbine, Rajabu Abdulkahali Ibraham
Lyrics powered by www.musixmatch.com