Top Songs By Angela Chibalonza
Credits
AUSFÜHRENDE KÜNSTLER:INNEN
Angela Chibalonza
Stimme und Gesang
KOMPOSITION UND LIEDTEXT
Angela Chibalonza
Komponist:in
Lyrics
[Verse 1]
Wamwendea Yesu kwa kusafiwa
Na kuoshwa kwa damu ya kondoo?
Je, neema yake umemwagiwa?
Umeoshwa kwa damu ya kondoo?
[Chorus]
Kuoshwa, kwa damu
Itutakasayo ya kondoo
Ziwe safi nguo nyeupe mno
Umeoshwa kwa damu ya kondoo?
[Chorus]
Kuoshwa, kwa damu
Itutakasayo ya kondoo
Ziwe safi nguo nyeupe mno
Umeoshwa kwa damu ya kondoo?
[Verse 2]
Wamwandama daima Mkombozi
Na kuoshwa kwa damu ya kondoo?
Yako kwa msulubiwa mavazi
Umeoshwa kwa damu ya kondoo?
[Chorus]
Kuoshwa, kwa damu
Itutakasayo ya kondoo
Ziwe safi nguo nyeupe mno
Umeoshwa kwa damu ya kondoo?
[Chorus]
Kuoshwa, kwa damu
Itutakasayo ya kondoo
Ziwe safi nguo nyeupe mno
Umeoshwa kwa damu ya kondoo?
[Verse 3]
Atakapokuja Bwana-arusi
Uwe safi kwa damu ya kondoo!
Yafae kwenda mbinguni mavazi
Yafuliwe kwa damu ya kondoo.
[Chorus]
Kuoshwa, kwa damu
Itutakasayo ya kondoo
Ziwe safi nguo nyeupe mno
Umeoshwa kwa damu ya kondoo?
[Chorus]
Kuoshwa, kwa damu
Itutakasayo ya kondoo
Ziwe safi nguo nyeupe mno
Umeoshwa kwa damu ya kondoo?
[Verse 4]
Yatupwe yalipo na takataka
Na uoshwe kwa damu ya kondoo
Huoni kijito chatiririka
Na uoshwe kwa damu ya kondoo?
[Chorus]
Kuoshwa, kwa damu
Itutakasayo ya kondoo
Ziwe safi nguo nyeupe mno
Umeoshwa kwa damu ya kondoo?
[Chorus]
Kuoshwa, kwa damu
Itutakasayo ya kondoo
Ziwe safi nguo nyeupe mno
Umeoshwa kwa damu ya kondoo?
Written by: Angela Chibalonza