Similar Songs
Credits
AUSFÜHRENDE KÜNSTLER:INNEN
Abdu Kiba
Künstler:in
KOMPOSITION UND LIEDTEXT
Abdu Kiba
Songwriter:in
Lyrics
Kwanza ukimtazama, anaenda na mambo uliyoyaskia moja mzuri sana
Na pili yeye anavutia kiumbo, yeye anavutia
Kisura inshallah mola kamjalia ana mwendo waki miss
Mi napenda anavyotembea
Hata kama waki miss mimi bado namfukuzia
Daily, kazi yenu nyinyi kumpakazia Daily
Sijui lini nyinyi mtampotezea Daily
Kazi yenu nyinyi kumpakazia Daily
Sijui lini nyinyi mtampotezea
Kakudanganya wa oysterbay wakati anakaa manzese
Halafu we mwenyewe una furaha
Usimwamini, kumpa moyo ye usije kulia
Usimwamini, kumpa moyo we, utaja niambia
Yuko juu kwa njia za panya
Ni mengi aliyoyafanya out we angalia
Yuko juu kwa njia za panya
Ni mengi aliyoyafanya aii we angalia ye
Ni bingwa wa viduku, kwenye vikodoro, i say (hana maana huyu demu)
Ye ni bingwa wa viduku, kwenye vikodoro, i say (hana maana huyu demu)
Huyo (nasema huyo sio demu)
Huyo (nasema huyo sio demu)
Huyo (nasema huyo sio demu)
Huyo (nasema huyo sio demu)
Ah, ah (nasema huyo sio demu)
Uh, uh (nasema huyo sio demu)
Ah, ah (nasema huyo sio demu)
Uh, uh (nasema huyo sio demu)
I know, siwezi laumu moyo
Kumpenda yule alisema mtoto mdogo na bado ye kwa shule
Jamani mi, nampenda mpenda yeye
Jamani mi namtaka taka yeye
Jamani mi nampenda mpenda yeye
Jamani mi, namtaka taka yeye
Ingawa walisema (bingwa viduku)
Nawengine wakanena (bingwa vikodoro)
Ingawa walisema (bingwa wa viduku)
Nawengine wakanena (bingwa wa vikodoro)
Si lengo langu kukupiku no
Nasema kweli huyu demu so
Ujipe moyo utakoshwa roho yule
So demu wa kusizi nae mahome no
Nina kupenda sana mchizi wangu, ndio maana nakuambia
Usije ona hii dunia ni chungu moyoni utaumia
Ninakupenda sana mchizi wangu ndio maana nakuambia
Usije iona hii dunia ni chungu moyoni utaumia
Huyo (nasema huyo sio demu)
Huyo (nasema huyo sio demu)
Huyo (nasema huyo sio demu)
Huyo (nasema huyo sio demu)
Ah, ah (nasema huyo sio demu)
Uh, uh (nasema huyo sio demu)
Ah, ah (nasema huyo sio demu)
Uh, uh (nasema huyo sio demu)
Huyo, huyo, huyo, huyo
Huyo sio demu mi mweye najua
Ajuwi kutaa wana sema kwa miya
Mapenzi ya kweli anachojali ye shillingi
Kudada adeki mapenzi hayashughuliki
Kama kweli unampenda we mpende tu maradufu, ila
Huku kitaa wanamgonga hata kwa buku
Huyo sio demu (huyo, huyo), demu wa kitaaa huyo
Huyo sio demu (huyo huyo), demu wa masela
Ah, ah (nasema huyo sio demu)
Uh, uh (nasema huyo sio demu)
Ah, ah (nasema huyo sio demu)
Uh, uh (nasema huyo sio demu)
(Huyo, huyo) tafuta mwingine
Ila kama unampenda komaaa nae
Ila nita kubembeleza sio kukuambia ku give up
So tell them bro, Love is a beautiful thing, but sometimes love is crazy man
Huyo, huyo, huyo, huyo
Huyo, huyo, huyo, huyo
Lyrics powered by www.musixmatch.com