Créditos
AUSFÜHRENDE KÜNSTLER:INNEN
Kusah
Stimme und Gesang
KOMPOSITION UND LIEDTEXT
Maua Sama
Songwriter:in
SALMIN ISMAIL HOZA
Songwriter:in
Letras
[Verse 1]
Kama ni gari umeliwasha limewaka
Na niko shwari iih ukwia kando sina mashaka
[Verse 2]
Vile vituko vya chumbani vi udi na ubani
Vagi la tsunami hadi nasema kunani
[PreChorus]
Iwe baridi kali ama joto
Yani kwenye raha na msoto
Nitabaki me na wewe nitabaki we na wewe
Iwe kwenye gari ama kwa ngoko
Yani we kulia me kushoto
Nitabaki me na wewe nitabaki we na wewe
[Chorus]
Haya mapenzi, yana wenyewe
Na wenyewe ndo sisi, ndo sisi
Jama mapenzi, yana wenyewe
Na wenyewe ndo sisi, ndo sisi
[Verse 3]
Hallo
Tuhame huku kwenye bangaloo
Twende masaki tuwarushe roho
Mapenzi yetu yawakabe koo
Halloo
[Verse 4]
Mwendo wa kupima
Uzuri flani rangi ya madina
Nikutoe dinner
Wavimbe macho kama wachina oh oh oh
[PreChorus]
Iwe baridi kali ama joto
Yani kwenye raha na msoto
Nitabaki me na wewe nitabaki we na wewe
Iwe kwenye gari ama kwa ngoko
Yani we kulia me kushoto
Nitabaki me na wewe nitabaki we na wewe
[Chorus]
Haya mapenzi, yana wenyewe
Na wenyewe ndo sisi, ndo sisi
Jama mapenzi, yana wenyewe
Na wenyewe ndo sisi, ndo sisi
Written by: Maua Sama, SALMIN ISMAIL HOZA