Letras
every things change
all never people say
because of you
ukisema mapenzi kwangu utabaki mlezi
sitoketi mpaka nione utekezi
ukiniacha najua unanitesa
kisa sina pesa kutwa nzima ningekesha
sina zaidi ya kichwa changu ni wewe
iweje wafaidi warukao kama mwewe
ughiribu wa penzi mola huwa hapendi
huwezi fananisha chupi cape na singlend
ila zipo kwenye tv ama deki
ebu jilinde mwenyewe nimechoka kua beki
napata picha kwenye bed unavyo shake
yani naumia sana mtima unavyopigwa jeki
sometimes nakufuru nakosa mpaka uhuru
naona mbele kiza lini nitapata nuru (right)
asante mola napumua bila ushuru
ila sishukuru mbona umeniumba kunguru
swala la mapenzi halina ujuzi wala sifa
aina nansi sumari mrembo wa kimataifa
ninachopenda zaidi kwako ni maarifa
kama warembo flani jenifa na latifa
haya yote ni maisha
ipo siku yatakwisha
leo mja naangaika
mambo yamebadilika
haya yote ni maisha
ipo siku yatakwisha
leo mja naangaika
mambo yamebadilika
kama maisha mi nadhani yako sawa
ni kitu gani kwa wajinga unachachawa
niende kwa waganga nikasake dawa
ningelikua na uwezo ningeruka hata kwa mbawa
yani nabaki nashangaa sina rahaa (sina rahaa)
habiba wangu kwanini unanikataa
heri ungenimwaga kuliko kunimimina
nahisi kitu flani mnyamwezi madee sina
sikiza basi mrube ninachosema
nalia kwani hujanieleza mapema
ile kauli yako kwamba hunitaki tena
kila nikikumbuka yani nashindwa kuhema
najua unaumia sana ukifikiria
nashindwa hata hela ya kununua sidiria
haya yote ni maisha rudi tupigane nayo
jikaze kua mpole usiskize wasemayo
haya yote ni maisha
ipo siku yatakwisha
leo mja naangaika
mambo yamebadilika
haya yote ni maisha
ipo siku yatakwisha
leo mja naangaika
mambo yamebadilika
wote walio nazo naamini walizikuta
bado naweka mkazo na nazidi kutafuta
najua ipo siku mama utarudi home
mara ya mwisho tumeongea kwenye phone
uko dom
basi sala salamu mi niko daressalam
huku maisha machungu kwa wengine ni matam
ona sasa watoto wanalia
ona sasa baba yao naumia
nazidi kujikaza anitoe nung'uniko
sometimes nakuwaza mpaka nakiuka miiko
njoo uvumilie shida zina mwisho wake
baba mungu kamuumba mja riziki zake
njoo tuishi tena wanga tuwakate ngebe
mimi bila ya wewe labda arudi samdembe
mola akulaze pema najua unasikia
yaliojiri nyuma yako shemejio kakimbia
haya yote ni maisha
ipo siku yatakwisha
leo mja naangaika
mambo yamebadilika (yamebadilika)
haya yote ni maisha (yote ni maisha)
ipo siku yatakwisha
leo mja naangaika
mambo yamebadirika
mmmmh lololooo
yatakuja kubadirika
yote ni maisha
mpenzi wanguu
rudi kwangu mamaaa
moyoni sina amani
mpenzi wangu
haya yote ni maisha
ipo siku yatakwisha
leo mja nahangaika
mambo yamebadirika
haya yote ni maisha
ipo siku yatakwisha
leo mja nahangaika
mambo yamebadilika
(end)
Lyrics powered by www.musixmatch.com