Lyrics
[Intro]
Nimeguzwa mahali
Mahali
Na kautamu flani
Kautamu flani
Papa Soul, Vijana Barubaru, yeah
[Verse 1]
Ukinipanda, hauwezi shuka, shuka
Hii kitu hauwezi ruka, ruka
Kutoka haiwezekani, honey
Kwangu ni kwako ndani
[Verse 2]
Ata ufungwe shuka, shuka
Wakushuke matuta, tuta
Nakuonea mbali (mbali)
Mimi ndio mwenye mali
[Verse 3]
Nataka tabibu
Anitibu
Juu mwalimu
Hana jibu
The way you smile you ignite my soul
Nipe your time your body and soul
[PreChorus]
Ona majaribu (Majaribu)
Ya usiku
Unainama
Sina nguvu
Mwenzako sina hali hali hali
Usiende mbali mbali
Oh oh oh
[Chorus]
Nimeguzwa mahali
Na kautamu flani
Na kama ni wewe
Ongeza mpaka nilewe
Utulivu wa bahari
Kautamu flani
Na kama ni wewe
Ongeza mpaka nilewe
[Refrain]
Nilewe
Nilewe ye
Nilewe
Nilewe ye
Nilewe Nilewe
Nilewe ye
Nilewe
[Verse 4]
Yeah, yeah, ah
Zangu zikishuka nakuita unalift my mood
Umenitepa na umekwama kwangu
Nikiwa mavitu nipe vitu zangu
Yeah, zangu haziezi shuka
You complete upumbavu wangu
Mama Mia tumia mamia zangu
What a sight I gat my eyes on you, on you
[Verse 5]
I close my eyes now, akilini nawaza
Furaha ntaipata vipi, meza yangu inahitaji viti
I speak my heart, nimekosewa na my human pride
Na nimeona vile love is blind, I pray to God nisimiss my sign
When love comes my way
[Verse 6]
Nataka tabibu
Anitibu
Juu mwalimu
Hana jibu
The way you smile you ignite my soul
Nipe your time your body and soul
[PreChorus]
Ona majaribu
Ya usiku
Unainama
Nasimama
Mwenzako sina hali
Usiende mbali
Oh oh oh
[Chorus]
Nimeguzwa mahali
Na kautamu flani
Na kama ni wewe
Ongeza mpaka nilewe
Utulivu wa bahari
Kautamu flani
Na kama ni wewe
Ongeza mpaka nilewe
[Refrain]
Nilewe ye
Nilewe, nilewe
Nilewe ye
Nilewe
Nimeguzwa mahali
Utulivu wa bahari
Kautamu flani
Written by: Bensoul