Similar Songs
Credits
AUSFÜHRENDE KÜNSTLER:INNEN
Nandy
Künstler:in
KOMPOSITION UND LIEDTEXT
Faustina Nandera Charles Mfinanga
Songwriter:in
Lyrics
[Intro]
Juu, yeiye, juu
Juu, juu sana
[Verse 1]
Kuna wakati wa giza
Mbele sioni najiuliza
Mbona kama hizi shida
Zimekawia kuisha
[Verse 2]
Katikati ya maswali
Nasikia sauti ndani
Imebeba ujasiri
Ikinitaka nikiri nikisema
[Chorus]
Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu
Mimi ni wa juu, juu sana
Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu
Mimi ni wa juu, juu sana
[Verse 3]
Sitafsiriwi kwa haya, machozi na magumu
Mimi ni mshindi tu, kamusi ndiye Mungu
Haijalishi ni giza, yeye ni nuru yangu
Nitashinda hii vita na yote yatakwisha
[Verse 4]
Ntasimama tena (Aah), ntainuka tena
Mimi ni wa juu tu, mimi ni wajuu tu
Ntasimama tena (Aah), ntainuka tena
Mimi ni wa juu tu, mimi ni wajuu tu
[Chorus]
Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu
Mimi ni wa juu, juu sana
Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu
Mimi ni wa juu, juu sana
[Verse 5]
Nawaza yaliyo (Juu), nawaza yaliyo (Juu)
Nawaza yaliyo (Juu, juu sana)
Nawaza yaliyo (Juu), nawaza yaliyo (Juu)
Nawaza yaliyo (Juu, juu sana)
[Chorus]
Mimi ni wa juu, mimi ni wa juu
Mimi ni wa juu, juu sana
Mimi ni wa juu, mimi ni wa juu
Mimi ni wa juu, juu sana
[Outro]
Sitafsiriwi kwa haya, machozi na magumu
Mimi ni mshindi tu, kamusi ndiye Mungu
Written by: Faustina Nandera Charles Mfinanga