Lyrics

Nita imba allelua asubui nita imba allelua muchana nita imba allelua jioni allelua na ata usiku nita imba allelua asubui nita imba allelua muchana nita imba allelua jioni allelua na ata usiku muhubiri ana sema, kila jambo na wakati wake, waku panda na ku vuna waku cheka na ku liya allelua nina wimbo wa kila wakati na kila majira wimbi wa nyaka zote na majira yote. wimbi iyi ni allelua muhuburi ana sema kila jambi na wakati wake waku panda na ku vuna wa ku cheka na ku lita allelua nina wimbo wakila wakati na kila majira wimbo wa nyakati zote na majira yote. wimbo uhu ni allelua nita imba allelua asubui
Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out