Canciones más populares de Lilmaina
Canciones similares
Créditos
KOMPOSITION UND LIEDTEXT
Jeremy Maina
Songwriter:in
Letras
Huh, mmh
Mmmm mm-mmh(stunna man)
Mmmm mm-mmh(ni stunna man)
Mmmm mmh(aai)
Kwanza napenda unavyo pooose(huh huh huh)
Mmmm mmh(krrrrr krrr krrrr)
Stunna man huh(mmmh mm-mmh)
Stunna man huh(mmmh mh mmh mh)
Kwanza na, kwanza na, kwanza napenda unavyopose
Cheki mwili yako baby bado unaglow
Niaje unaamka sisi bado hatujadoz
Sipotezi wakati nikonayo yo yo yo
Wo wo wo wo
Kwanza napenda unavyopose
Cheki mwili yako baby bado unaglow
Niaje unaamka sisi bado hatujadoz
Sipotezi wakati nikonayo yo yo yo
Wo wo wo wo wo wo wo wo
Uh, uh, uh, venye wakaa s kawaida
Naeza kuseti sensimina
Na unafanya nasahau adi jina, waitwa nani mi bonita
Uh, venye wakaa s kawaida
Naeza kuseti sensimina
Na unafanya nasahau adi jina, waitwa nani mi bonita
There is no pretending na ka wakona beef
Ntawapata venchys waambie kama battery
Niko ever ready nashika mpaka power
Mambo yangu heavy, baby kweli
Na sidanganyi uko fine mama
Wasikuguze wakijaribu hiyo ni lawama
Na ona chuki huku pekee ndio inawashana
Ma vijana wantaka ati drama mam(skia cheki)
Nipee location nakuambia tukipatana
Ati yoh, ntakupeleka na rada tukilinki
Najua pia unapenda vitu kinky
Hizo ndio tabia unapenda ukiwa machingri
Ni bad gyal akona degree
Ameenda chuo rada zake huwezi soma
Ma nigga wanadai kujua ka nishaigonga
I don't kiss and tell nilikua tu namchoma
Za ex wake hazikuwanga na aroma
(Ananijaz)Hachoke na hiyo moshi ni strong
(Ananijaz)Hachoke na hiyo kitu ni long(anadai)
Nimrecord lakini sura nicrop
Venye naishanda mi ni ka King Von
(Ananijaz)Hachoke na hiyo moshi ni strong
(Ananijaz)Hachoke na hiyo kitu ni long(anadai)
Nimrecord lakini sura nicrop
Venye naishanda mi ni ka King Von
(Venye wa venye wa venye wa venye wa)
Mh, venye wakaa s kawaida
Naeza kuseti sensimina
Na unafanya nasahau adi jina, waitwa nani mi bonita
Uh, venye wakaa s kawaida
Naeza kuseti sensimina
Na unafanya nasahau adi jina, waitwa nani mi bonita
Yeah ey, napendanga beef naipiga kiss
Jean ikijitoa utanimiss, kitu ni sucrose nice
Kitu ni sweet piga kitu speak all night akue mc
Akona discipline ju akona nini
Akona boyfriend akona rizz
Akona mystery yaani mysterious
Akona boyfriend na akona me
Yeah, maanake ati umelate unadoz?
We nionyeshe ID mi staki jokes
Location private boss usikue mnosy
Jua hii bash si ya mnose
Inageuzwa once alafu pause(pause)
Ukiturn unalost
Inachanganya the young and the old
The tough and the bold now if you must know
Mh mh venye wakaa s kawaida
Naeza kuseti sensimina
Na unafanya nasahau adi jina, waitwa nani mi bonita
Kwanza napenda unavyopose
Cheki mwili yako baby bado unaglow
Niaje unaamka sisi bado hatujadoz
Sipotezi wakati nikonayo yo yo yo
Wo wo wo wo
Kwanza napenda unavyopose
Cheki mwili yako baby bado unaglow
Niaje unaamka sisi bado hatujadoz
Sipotezi wakati nikonayo yo yo yo
Wo wo wo wo wo wo wo woo
Mmmh mm-mmh
Mmmh mm-mmh
Mm-mmh mm-mmh
Mm-mmh mm-mmh
Huh huh huh(krrrrr) mm-mmh mm-mmh
Stunna man(mm-mmh mm-mmh)
Mm-mmh
Mmm
Lyrics powered by www.musixmatch.com